Tuesday, August 23, 2016

SHULE YA AWALI (PRE-SCHOOL)

Kwa shule ya Awali tunapokea watoto wenye umri kuanzia miaka 2. Kuna miundombinu na pia mahitaji yatakayomfanya mtoto ajifunze kwa uharaka na pia katika njia inayofaa. Ada ya Awali ni nafuu na pia inaweza kulipwa kwa awamu.
Wanafunzi wa shule ya awali

No comments:

Post a Comment