Tuesday, August 23, 2016

WASILIANA NASI SASA

Wasiliana nasi kupitia:
Mkurugenzi: 0712 337 343
0768 167 239
0754 373 433
Mkuu wa shule 0717 165 024
Email: lovenessjuniorschool@yahoo.com
Posta: Loveness Junior School
 P.O.Box 78881, Dsm.
Tunapokea Maombi ya Kujiunga nasi kwa
Muhula Mpya wa masomo wa mwaka 2016
(Pia Nafasi zipo kwa wahamiaji)
Education is my Investment’

SHULE YA MSINGI (PRIMARY SCHOOL)

Shule inapokea wanafunzi kuanzia darasa la kwanza na kuendelea. Mazingira ya kusoma ni mazuri na pia miundombinu na mahitaji ya kujifunza kiurahisi na kiufasaha ipo. Ada inaweza kulipwa kwa awamu pia.
Wanafunzi wa elimu ya Msingi
Tunapokea maombi ya kujiunga nasi kwa mwaka 2016. Fomu za kujiunga zinapatikana

SHULE YA AWALI (PRE-SCHOOL)

Kwa shule ya Awali tunapokea watoto wenye umri kuanzia miaka 2. Kuna miundombinu na pia mahitaji yatakayomfanya mtoto ajifunze kwa uharaka na pia katika njia inayofaa. Ada ya Awali ni nafuu na pia inaweza kulipwa kwa awamu.
Wanafunzi wa shule ya awali